AGRICULTURAL
































































































































































































































































































































































































Na. Raymond Claud
WAZIRI  wa Kilimo,Chakula  Ushirika Mh. Eng.Christopher Chiza amezindua Baraza jipya la Wakurugenzi wa Taasisi ya Utafiti na Udhibiti wa Viuwatilifu katika nchi za kitropiki (TPRI )
Akizungumza jijini Dar es salaam katika hoteli ya Tifany Dimond mhueshimiwa Chiza alisema amezindua Baraza hilo na amewataka Wakurugenzi hao wapya kufanya kazi kwa bidii  na kuwaomba washirikiane na Mkuu wa Bodi hiyo kwa juhudi ili waweze kuboresha Taasisi
“Nimezindua rasmi baraza ila nawomba muweze kushirikiana na Mkuu wa Bodi ili kuleta maendeleo kupitia Taasisi hii na nina muomba Mkuu wa Bodi kuwachukulia sheria wale wote wasio wajibika kwa kuchukua maamuzi magumu, alisema Waziri Chiza na kuongeza
Nimesikia kuna matumizi mabaya ya fedha katika taasisi hii kwa yeyote atakaye bainika amesababisha hasara basi apelekwe kwenye sheria washughulikiwe na hatutaangalia sura kwamba mtu gani alifanya hivyo bali sheria itachukua nafasi dhidi yao’’
Aidha Mwenyekiti ya  wa Bodi Wakurugenzin Profesa Kalunde aliwatambulisha Wakurugenzi tisa ambao ni prof . Raphael Chibunda mkurugenzi msaidizi  Wizara ya mawasilianao Sayansi teknolojia Fabian Mkondo Mkurugenzi msaidizi idara ya mimea , DKT Godfrey Nsengwa Mkurugenzi msaidizi idara ya huduma za Afya ya mifugo na uvuvi , Wizara ya Afya Bwana Matata Ofis ya mkemia Mkuu wizara ya Afya.Prof Maulid Mwatawala wa idara ya mimea vipondo chuo kikuu cha Sua ,  Bi Magdalena Mtenga Mkurugenzi msaidizi idara ya Mazingira ofisi ya Makamu wa rais wa baraza jipya kwa Mheshimiwa Waziri.
“Taasisi imejitahidi kuwawajibisha  viongozi wabadhilifu na kuwafukuza kazi akiwemo Mhasibu Mkuu na baadhi ya viongozi kwa sababu ya matumizi mabaya ya fedha za taasisi na pia bodi bado inaendelea kuwa adhibu wale wote wengine wanaoendelea na hiyo tabia’’
Profesa Kalunde aliwasilisha changamoto zinazoikabili taasisi hiyo kuwa ni ukosefu wa wataalamu,uboreshwaji wa mahabara,majengo ya zamani,ufinyo wa fedha na Majengo .






Na. Raymond Claud
WAZIRI  wa Kilimo,Chakula  Ushirika Mh. Eng.Christopher Chiza amezindua Baraza jipya la Wakurugenzi wa Taasisi ya Utafiti na Udhibiti wa Viuwatilifu katika nchi za kitropiki (TPRI )
Akizungumza jijini Dar es salaam katika hoteli ya Tifany Dimond mhueshimiwa Chiza alisema amezindua Baraza hilo na amewataka Wakurugenzi hao wapya kufanya kazi kwa bidii  na kuwaomba washirikiane na Mkuu wa Bodi hiyo kwa juhudi ili waweze kuboresha Taasisi
“Nimezindua rasmi baraza ila nawomba muweze kushirikiana na Mkuu wa Bodi ili kuleta maendeleo kupitia Taasisi hii na nina muomba Mkuu wa Bodi kuwachukulia sheria wale wote wasio wajibika kwa kuchukua maamuzi magumu, alisema Waziri Chiza na kuongeza
Nimesikia kuna matumizi mabaya ya fedha katika taasisi hii kwa yeyote atakaye bainika amesababisha hasara basi apelekwe kwenye sheria washughulikiwe na hatutaangalia sura kwamba mtu gani alifanya hivyo bali sheria itachukua nafasi dhidi yao’’
Aidha Mwenyekiti ya  wa Bodi Wakurugenzin Profesa Kalunde aliwatambulisha Wakurugenzi tisa ambao ni prof . Raphael Chibunda mkurugenzi msaidizi  Wizara ya mawasilianao Sayansi teknolojia Fabian Mkondo Mkurugenzi msaidizi idara ya mimea , DKT Godfrey Nsengwa Mkurugenzi msaidizi idara ya huduma za Afya ya mifugo na uvuvi , Wizara ya Afya Bwana Matata Ofis ya mkemia Mkuu wizara ya Afya.Prof Maulid Mwatawala wa idara ya mimea vipondo chuo kikuu cha Sua ,  Bi Magdalena Mtenga Mkurugenzi msaidizi idara ya Mazingira ofisi ya Makamu wa rais wa baraza jipya kwa Mheshimiwa Waziri.
“Taasisi imejitahidi kuwawajibisha  viongozi wabadhilifu na kuwafukuza kazi akiwemo Mhasibu Mkuu na baadhi ya viongozi kwa sababu ya matumizi mabaya ya fedha za taasisi na pia bodi bado inaendelea kuwa adhibu wale wote wengine wanaoendelea na hiyo tabia’’
Profesa Kalunde aliwasilisha changamoto zinazoikabili taasisi hiyo kuwa ni ukosefu wa wataalamu,uboreshwaji wa mahabara,majengo ya zamani,ufinyo wa fedha na Majengo .









Takwimu za zana za kilimo nchini zinaendelea.

Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika inaendelea na mpango wake wa kufatilia takwimu za maendeleo ya zana na mashine za kilimo nchini.

Wataalamu wa Idara ya Zana wanakwenda kuchukua takwimu zilizopungua za zana na mashine mbalimbali za kilimo kwa ngazi ya wilaya na mikoa kwa ujumla.

Kauli hio imetolewa na Mkurugenzi msaidizi wa Idara ya Zana za  Kilimo,Eng. Rajabu Mtunzi alipokua anazungumza na Kitengo cha Mawasiliano ofisini kwake.

‘’Takwimu za mwaka zinaonyesha kuwa matumizi ya zana kwa kutumia matrekta na power teeler yamepanda kutoka asilimia 12 mpaka 14 kwa mwaka,wanyamakazi kutoka asilimia 20 mpaka 24 kwa mwaka,wakati jembe la mkono limepungua kutoka asilimia 64 mpaka 62 kwa mwaka’’,alisema Eng. Rajabu.

Aliongeza kuwa matumizi ya matrekta na power teeler yameongezeka wakati matumizi ya mikono yamepungua ingawa pia wanahangaika kukusanya mashine za takwimu za usindikaji wa kilimo pia.

Aliendelea kusema kuwa takwimu hizi hufanyika nchi nzima kila mwaka ambapo kila mtaalamu wa zana za kilimo anapangiwa mkoa wake na vitongoji vyake kwenda kuutathmini.

Eng. Rajabu alisisitiza kuwa Idara yake inaendelea kuwahamasisha wakulima kutumia zana bora za kisasa pamoja na mashine za kulimia,kusindika mazao mbalimbali pamoja na matumizi ya nishati mbadala katika kusindika mazao ya kilimo.

Aliendelea kusema kuwa lengo la kufanya ivo ni kuhakikisha wataalamu na maofisa zana za kilimo wa wilaya wanapata elimu ya kutosha ili waweza kuwafikishia wakulima.

Aidha serikali pia inawahamasisha wafanyabiashara na wauzaji wa mashine mbalimbali za kilimo kujitangaza kwa wakulima ili mashine zao ziweze kufahamika kirahisi kwa wakulima na wananchi kwa ujumla.




Na. Raymond Claud

   WIZARA ya kilimo na Chakula imekubali  kuungana na Mtandao wa simu za mkononi Zantel kuendesha mradi wa majaribio ya simu za mkononi kupeleka elimu kwa wakulima katika Nyanja nyingi.

Akizungumza jijini Da es salaam katika viwanja vya Wizara ya kilimo Makao Makuu  Dkt Msolla Kaimu Mkurugenzi wa maendeleo ya mazao kwa niaba ya Katibu Mkuu alisema kuwa kila mmoja anafahamu umuhimu wa elimu kwa wakulima katika kuendeleza kilimo.

Alisema lengo la Wizara ni kuwa na afisa ugani kila kijiji ifikapo 2015 hadi sasa tuna maafisa ugani  asilimia 35 ya vijiji vyote nchini, ili kuweza kuziba pengo la elimu kwa wakulima linatokana na upungufu wa wataalamu vijijini ili kuweza kuziba pengo la elimu kwa wakulima kutumia njia ya simu itatoa mchango mkubwa kukabiliana na changamato hii. 


























Muongozo/mswaada wa kikao cha Mhe. Chiza Waziri wa kilimo -  Dodoma
Simulizi
Kufuatia matatizo yanayoendelea yanoyofanywa na baadhi ya watu  wasiokuwa waaminifu katika sekta ya ushirika hususan katika zao la tumbaku ambalo ni maarufu sana katika mkoa wa Tabora ,waziri wa kilimo chakula na ushirika Mheshimiwa injinia Chiristopher Kajoro Chiza aliamua kukutana  na  wadu wa tumbaku.
Mkutano huo  uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Kilimo IV uliopo katika mji wa Dodoma uliwahusiha Katibu mkuu wizara ya kilimo chakula na ushirka, Bib Sofia Kaduma,mkuu wa mkoa Tabora Bib Fatuma nyangasa,body ya tumbaku , wawakilishi wa wakulima pamoja na waandishi wa habari
Baada ya utambulisho waziri wakilimo alimkaribisha Mkuu wa mkoa wa tabora Bib Fatuma nyangasa kuwasilisha tafiti walioifanya juu ya matatizo wanayoyapata wakulima wa tumbaku
Mkuu wa mkoa …….
Mkuu wa mkoa…….
Mkuu wa mkoa…….
Maelezo ya  mkuu wa mkoa yakatoa nafas  kwa mwalikilishi wa wakulima wa tumbaku bwana ……….. ili kutoa kilio cha wakulima wenzake ambao walimtuma kuonana na waziri wa kilimo
Mwakilishi wa wakulima…….
Mwakilishi wa wakulima………
kilio cha wanaushirika wa tabora ambao pia ni wakulima wa tumbaku kilichowasilishwa na mkuu wa mkoa pamoja mwakilishi wa wakulima  kikamgusa Mhe. Chiza ,Waziri wa Kilimo chakula na ushirika kikamfanya kikamfanya atoe tamko ili kuondoa hali hiyo
waziri wa kilimo chakula na ushirika……
waziri wa kilimo na ushirika…..
hatua za ziada katika kuimarisha hali ya vyama vya ushirika zikafanyika na hapa ndipo   waziri wa kilimo akaunda kikosi kazi ambacho kitahakikisha kuwa matatizo yanayokumba hali ya ushiriika yanakwisha
waziri wa kilimo …..
waziri wa kilimo…….
Mpenzi mtizamaji wa makala haya hapa ndipo makala yetu yanatia nanga hadi siku nyingine endelea kufatilika makala hizi kwa wakati mwingine











































































No comments:

Post a Comment